Monday, January 25, 2010

Tanzanian youths and what we can do in the coming General elections.

Our nation is passing through a unique era. An era with spread of politics popurality with major interest from from the young population too. Our youths generation of today is much educated than any generation since the independence.
Realising this I look forward for great changes in election atmosphere of this year.
I argue my fellow young people to go to ballots and use this unique opportunity to influence the changes we all need. Its time to insure the MPs and Presidential candidates are not going to rob our present and future, we should believe our votes can make a difference. Its time to stand tall and walk tall, ensuring in these elections we dont vote for 'a better future' promise BUT A BETTER TODAY! Not overshadowed by parties but by people, people who can influence changes and a better today!

Monday, January 4, 2010

MAKTABA ZINAZOUNGUA, VIJANA TUMEZITUMIA KWA KIASI GANI?







Mwaka 2009 umeisha vibaya kwa watanzania wazalendo na wanaojua historia ya nchi hii. Tulimpoteza mmoja wa waasisi muhimu wa nchi hii, Mzee Rashid Mfaume Kawawa. Naona faraja na furaha kwa kuwa mmoja wa vijana wanaojua mchango wa viongozi wetu waliopita. Viongozi ambao wakati wa utawala wao hawakugubukwa na tamaha za mali na wizi(ufisadi).

Nasikitika kwa sababu vijana wenzangu wengi wa sasa hatuwafamu watu hawa wala atujui mchango wao.
Tunachotakiwa kufahamu ni kwamba vifo vya wazee kama Hayati Mwl. Julius Nyerere na Hayati Rashid Mfaume Kawawa ni sawa na maktaba inayoungua. Ushauri wao na uwepo wao unasaidia sana muenendo wa serikali yetu. Ni watu wenye uzoefu na wameona mengi, ushauri wao ulikuwa na umekuwa wa muhimu na wenye mtazamo wa kati, nikimaanisha wakiangalia sio matajiri tu bali na hata maskini.

Tumepoteza watu muhimu sana, lakini hicho si cha kuongelea kwa sana kwa sasa tuangalie je kwa wale ambao bado wapo hai, TUNAWATUMIAJE?