![]() |
| Wabunge Wa CHADEMA Walioshambuliwa! |
Hilo ndo swali ambalo limekuwa linakuja kwa akili yangu kwa sasa, kutoka Tunisia, Misri, Syria, na sehemu zingine, hivi demokrasia haikui bila vurugu na hata umwagaji wa damu? By-election za Arumeru zimepita na chaguzi za udiwani pia, tumeona yaliyotekea. Hii ni pamoja na kushambuliwa kwa wabunge wa chama cha Chadema..
