Showing posts with label Urusi. Show all posts
Showing posts with label Urusi. Show all posts

Tuesday, March 13, 2012

Kushindwa Kwa Nchi za Magharibi Kuchochea Mabadiliko Urusi; Nini Kinafuata?

Vladimir Putin.
Kwa watu wote wanaochukia tabia ya nchi za magharibi za kulazimisha mabadiliko katika nchi za wengine hasa zinazokuwa katika kiuchumi na nguvu za kidiplomasia watakuwa wamefurahishwa na kilichotokea Urusi, kwani juhudi zao hazikuzaa matunda.