![]() |
| Vladimir Putin. |
Kwa watu wote wanaochukia tabia ya nchi za magharibi za kulazimisha mabadiliko katika nchi za wengine hasa zinazokuwa katika kiuchumi na nguvu za kidiplomasia watakuwa wamefurahishwa na kilichotokea Urusi, kwani juhudi zao hazikuzaa matunda.
